Terminal Kiswahili Form One
Terminal Kiswahili Form One
SEHEMU A
1. .Jibu maswali kwa kuandika herufi ya jibu sahihi
i. Ipi kati ya zifuatazo ni fursa itokanayo na lugha ya Kiswahili
a) kuwatambulisha watu
b) kuwafundisha watu wa mataifa mbalimbali
c) kurithisha amali za jamii
d) kuburudisha jamii
e) kuwakusanya watu katika jamii
ii. kumbo na kapelo walikuwa wanabishana kuhusu muundo wa sentensi .
‘’Mimi nitafua na wewe utaosha vyombo ‘’ Upi ni muundo sahihi wa sentensi
hiyo?
a) E + T + U + W + T + N
b) W +T + U + W + T + E
c) W + T + U + W + T + N
d) V + T + U + W + T + E
e) N+ T + U+ W + T + N
iii. Neno ‘ruhusa’limeundwa na silabi ngapi ?
a) Nne
b) Tatu
c) Sita
d) Mbili
e) Tano
iv. vifuatavyo ni vipengele vinavyohusishwa katika lugha kama mfumo
,isipokuwa
a) Sauti
b) silabi
c) maneno
d) Sentensi
e) Uundaji
v. __________ni nyenzo kuu ya mawasiliano katika jamii yenye utamaduni
mmmoja .
a) Mtandao
b) Miundombinu
c) Lugha
d) Sanaa
e) Imani
vi. Neno lipi kati ya yafuatayo limeandikwa kwa usahihi kwa kuzingatia
matamshi ?
a) Kurara
b) Hujanierewa
c) Tatizo rako
d) Tafadhari
e) Afadhali
vii. Mama alinunua vyombo vizuri .Katika sentensi hii neno VIZURI limetumika
kama aina gani ya neno
a) Kivumishi
b) Nomino
c) Kiwakislishi
d) Kielezi
e) Kitenzi
Namna ya uzungumzaji au usemaji unaoipa utambulsiho jamii Fulani
SEHEMU B
3. Kazi ya VIVUMISHI(V) ni kutoa taarifa zaidi kuhusu nomino au viwakilishi ,kwa mifano
halisi taja aina tano za vivumishi
i. …………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………
ii. …………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………
iii. ………………………………………………………………………………………..
………………………………………………………………………………………..
iv. …………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………
v. ……………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………….
4. Kwa kuzingatia matumizi ya lugha sanifu na yenye ufasaha ,sentensi zifuatazo zina makosa
,ziandike upya kwa usahihi .
i. kiti mkubwa amevunjika
………………………………………………………………………………………….
ii. Mbuzi wangu amefariki
………………………………………………………………………………………….
iii. Namwambiaga lakini haelewi
…………………………………………………………………………………………
iv. atutaenda kumuona bibi maana amekuja
…………………………………………………………………………………………
v. Baba alikasilika sana jana
………………………………………………………………………………………….
5. Taja tabia tano za lugha
i. ………………………………………………………………………………………
ii. ……………………………………………………………………………………….
iii. ………………………………………………………………………………………..
iv. ………………………………………………………………………………………..
v. …………………………………………………………………………………………
6. Tenganisha maneno yafuatayo kisilabi mfano shambani Sha+ mba + ni
i. Nga’ng’ania………………………………..
ii. Penda …………………………………….
iii. Kishikwambi ………………………………
iv. Mwendamseke……………………………..
v. Pandikizo …………………………………..
7. Badili vitenzi vifuatavyo kuwa nomino
i. Andika …………………………………………………
ii. Soma ……………………………………………………
iii. Pika……………………………………………………..
iv. Ongoza ……………………………………………….
v. Cheza …………………………………………………
8. Eleza faida mbili za kutumia lugha iliyo fasaha
i. ………………………………………………………………………………
ii. ………………………………………………………………………………
i. …………………………………………………………………………..
ii. …………………………………………………………………………..
iii. ………………………………………………………………………….
iv. N T V U N
…………………………………………………………………………………
v. W E W T E
…………………………………………………………………………………
10. Chagua aina sahihi ya neon kati ya maneno yaliyomo kwenye kisanduku ,kasha jaza
neon hilo kwenye nafasi iliyoachwa wazi katika sentensi zinazofuata .
Cha kwanza ,lo,Kalamu ,vipi ,Mchana ,wale ,juu ya ,na ,amabaye ,kuku ,kitanda ,Mno ,wetu