Find & Share Quotes with Friends

Second Coming Of Jesus Quotes

Quotes tagged as "second-coming-of-jesus" Showing 1-3 of 3
Enock Maregesi
“Shetani anaogopa viumbe saba tu hapa duniani na huko mbinguni ukimwondoa Mungu, ambaye anaogopwa na kila kiumbe: Malaika Mikaeli, Malaika Gabrieli, Malaika Rafaeli, Malaika Urieli, Malaika Selafieli, Malaika Ragueli, na Malaika Barakieli, ambao ni malaika wakuu; na tukio ambalo Shetani analiogopa zaidi ni tukio la kurudi kwa Yesu kwa mara ya pili ambalo limekaribia sana, na atafanya kila atakachoweza kabla ya tukio hilo kuchukua roho zetu. Lengo la Shetani ni kuua kila mtu duniani kumkomoa Mungu na malaika wakuu na kutupeleka kuzimu. Lakini atashindwa kwa jina la Yesu.”
Enock Maregesi

“- [ ] “Do not believe anymore in what you have heard; discard all the promises. After 2000 years, you have seen that nothing has yet come but because nothing was supposed to come. You all have been hearing lies. What would you do now? Would you believe in those who got wealthy and powerful by using my former name, or would you rather prefer to hear me now?”
Yeshua-Shlomo

“The Son of Man is not just a figure on a throne. It is a pattern that repeats, a collective revelation, a neural and cultural tipping point that transfigures those who have ears to hear. And that pattern is emerging now, under our skin and in our systems, because the ego is breaking.”
Paule Patterson, The Son of Man & Its Mystical Awakening: Reclaiming Eschatology & Atonement During a Convergence of Globalization, Nihilism, Science, & Spirituality